Wednesday, 13 July 2016

MSEVENI AFANYA KITUKO CHA MWAKA,TAZAMA

Museveni asimamisha msafara kisha aketi barabarani kuzungumza na simu.



Rais wa Uganda bwana Yoweri Kaguta Museveni alizua kihoja katika kijiji kimoja karibu na mpaka wa Uganda na Tanzania aliposimamisha msafara wake wa magari iliapokee simu faraghani.
Amini usiamini Rais Yoweri Museveni, alishuka kutoka kwenye gari lake rasmi akachukua kiti chake na kukiweka kando kando ya barabara mpya ya Isingiro ikipitia kijiji hicho cha Kyeirumba hadi Tanzania na kupokea simu faraghani.

Mzee Museveni kama vile baba wa taifa alitumia muda wake kufanya shughuli hiyo huku akiwapungia mkoo wapita njia.

DK MWAKA AFUNGIWA RASMI-HIZI NDIZO SABABU KUU



Serikali imekifungia kituo cha tiba asilia cha Foreplan kinachomilikiwa na Juma Mwaka kwa kukiuka masharti ya kibali alichopewa kujitangaza kuwa anatoa tiba za kisasa badala ya matibabu ya asilia.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mwenyekiti Wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Dk Edmund Kayombo amesema kuwa kituo hiko kimefutiwa usajili na hakiruhusu kutoa huduma za tiba asilia na tiba mbadala kwa jamii kwa kutokidhi masharti ya usajili na kufanya kazi kinyume cha usajili wake.
“Kuanzia hivi sasa tumekifutia usajili kituo cha tiba asili na tiba mbadala cha Foreplan kwa kukiuka masharti ya usajili na hivyo hakiruhusiwi kutoa huduma kwa jamii  na watanzania kwa ujumla,”amesisitiza Dk Kayombo.
Ameongeza kuwa vituo vingine vilivyofungiwa kutoa huduma ni pamoja na Tabibu Abdallah Mandai wa Mandai Herval Clinic na Kituo cha Fadhaget Sanitarium Clinic kinachomilikiwa na Tabibu Fadhil Kabujanja

MZIMU-WAANUA UNGA WA UGALI MBEYA

Mzimu wa ajabu waanua unga wa ugali

 



Na Ibrahim Yassin, Rungwe
WANANCHI  wa Kijiji  cha  Mwela  Kata  ya  Kandete  wilayani  Rungwe Mkoa wa Mbeya wako hatarini kukumbwa na baa la njaa baada ya kuibuka kile kinachodaiwa ‘mzimu wa ajabu’ ambao umekuwa ukianua unga  unapokuwa umeanikwa juani na kupotea hewani katika mazingira ya kutatanisha.
Hali  hiyo  imejitokeza  siku  chache baada ya ‘mzimu’ huo kuzuka  katika kijiji hicho   ikielezwa kuwa unga na mazao mengine yaliyokuwa yameanikwa juani yalipotea hewani.
Kutokana na tukio hilo,   imewalazimu wananchi wa Kijiji cha Mwela kutisha mkutano wa halmashauri ya kijiji   kujadili na kutafuta suluhu ya hali hiyo.
Akizungumza na mwandishi   kuhusu tukio hilo, mkazi mmoja wa kijiji hicho, Hamfrey Mwakitwange, alisema kuibuka kwa mzimu huo kumezua hofu kwa wakazi wa Mwela na maeneo ya jirani.
Alisema   mwaka huu kuna hatari ya kutokea  ukame na  baa la njaa    baada ya kuibuka   mzimu huo wa ajabu.
“Kwa tukio la kuwapo   mzimu huu wa ajabu tumejawa na hofu kubwa   na kuna dalili ya kukumbwa na baa la njaa mwaka huu.
“Mzimu umekuwa ukichukua chakula hasa unga na mazao yanayoanikwa juani…tunabaki tunajiuliza, na sasa kimeitishwa kikao cha halmashauri ya kijiji ingawa mtazamo umegawanyika… sasa kuna wengine wanataka hata tuhushishe waganga,” alisema Mwakitwange.
Mjumbe wa Nyumba 10 wa CCM, Matrida Mwaisumbwa, alisema   kitendo cha kuibuka   mzimu huo ambao umekuwa ukichukua chakula,  umeleta sintofahamu kijijini hapo.
Alisema   hata wanapokuwa wanapika chakula kama ugali au ndizi, kimekuwa hakina radha   na inadaiwa chakula hicho pia kinakuwa kimetembelewa na mzimu huo wa ajabu.
Alisema uongozi umeandaa mkakati wa kupita nyumba kwa nyumba   kukusanya michango  kuwasaidia wananchi ambao wamekwisha kuathirika na mzimu huo.
Hata hivyo,  Mwenyekiti wa Kijiji cha Mwale, Ferki  Mwandenga, alisema licha ya kuwapo taarifa za mzimu huo wa ajabu  anashindwa kuieleza kwa kina hali hiyo.
“Siwezi kulisema hili jambo maana linachanganya kidogo, sijui ni tukio la kichawi? Ingawa pamoja na hali hiyo, tambua kuwa Serikali haiamini uchawi,” alisema Mwandega.

JULIO-WACHEZAJI WA KIGENI SIYO DILI

Julio aponda usajili wachezaji wa kigeni

 


Jamhuri Kihwelu ‘Julio’
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Mwadui FC, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’, amesema hababaishwi na usajili wa wachezaji wa kimataifa unaofanywa na baadhi ya klabu zitakazoshiriki Ligi Kuu Bara msimu ujao na kudai kuwa ana uwezo wa kupata wachezaji wazawa wenye viwango vya juu zaidi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Julio alisema anaamini wapo wachezaji wazawa wenye uwezo kwani baadhi yao viwango vinalingana na ambao wanasajiliwa kutoka nje ya nchi.
“Wachezaji wa nje ambao nakubali viwango vyao ni Thabani Kamusoko, Donald Ngoma na Haruna Niyonzima wa Yanga pamoja na Kipre Tchetche wa Azam FC, lakini wengine wana uwezo wa kawaida,” alisema.
Julio aliyeipandisha Mwadui Ligi Kuu na kuiwezesha kubaki msimu uliopita, alisema atafanya usajili wa wachezaji wazawa wenye uwezo ambao anaamini watakiimarisha kikosi na kuongeza ushindani msimu ujao.
Akizungumzia tetesi za kutaka kumsajili kiungo aliyetemwa na Yanga, Salum Telela, Julio alikiri kufanya naye mazungumzo na kudai kilichobaki ni mchezaji huyo kufanya uamuzi.

Sunday, 10 July 2016

WACHEZAJI WA YANGA WALINYOAMUA KUTOA ZAWADI

Timu ya Yanga inayojiandaa na mchezo wake wa tatu wa Kombe la shirikisho Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana, Jumapili July 10 ilitembelea kwa mdhamini wao kampuni ya Quality Group kwa ajili ya kutoaa zawadi.
Baadhi ya mastaa wa Yanga waliotoa zawadi kwa mashabiki na kupiga nao picha ni Malimi Busungu, Nadir Haroub Canavaro, Thabani Kamusoko na Donald Ngoma ambapo ni mpira na jezi vilivyosainiwa na wachezaji wote na pikipiki kwa mshindi wa kwan

MAMA YAKE RONALDO,ALIANDIKA HAYA BAADA YA KUONA MWANAE AKILIA

Usiku wa July 10 2016 mchezo wa fainali ya Euro 2016 ulichezwa na kushuhudia timu ya taifa ya Ureno ikifanikiwa kutwaa Kombe la Euro kwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya mwenyeji Ufaransa.
Tukio la kuumiza kwa mashabiki wa Ureno ni pale dakika ya 23 nahodha wao Cristiano Ronaldo alipotolewa nje ya uwanja kwa kubebwa juujuu akiwa analia baada ya kushindwa kuendelea na mechi kutokana na kufanyiwa faulo mbaya.
roiu
Muda mfupi baada ya Ronaldo kutolewa analia, mama mzazi wa staa huyo Dolores Aveiroaliandika ujumbe wake kutumia account yake ya twitter unaoonesha kusikitishwa kwake kwa faulo aliyofanyiwa mwanae Siwezi kumuangalia mwanangu akiwa katika hali hii (analia), kucheza mpira sio kumuumiza mpinzani”

Monday, 4 July 2016

ORGANIZE HONEYMOON- TOURS and SAFARI -

 WE ORGANIZE
HONEYMOON- TOURS and SAFARI -


ZANZIBAR /TANZANIA
BOOK TODAY +255 754 441368 (Whtsapp)
>+255 712 41 31 41
EMAIL- paschal@theinsighttanzaniasafaris.com
#toursintanzania
#zanzibartour
#kilimanjarotours
#lakezonetours

HATA KAMA NI TAMAA YA PESA HII NI HATARI

  • Katika tukio lililoshangaza watu wengi huko
    mkoani Mbeya, mwanaume mmoja
    amekamatwa na kichwa cha binadamu baada
    ya kufukua kaburi.
    - Inadaiwa alifikia maamuzi hayo ili aweze
    kufanikiwa katika biashara zake.

TAZAMA VIDEO CHINI KABISA

Friday, 24 June 2016

TAZAMA MAJINA YA WANAFUNZI WATAKAO JIUNGA KIDATO CHA TANO 2016/2017


SERIKALI kupitia TAMISEMI imetangaza majina ya wanafunzi watakao jiunga kidato cha tano mwaka 2016
FUNGUA LINK HAPO CHINI

http://tamisemi.go.tz/form_five_selection/

SIASA SASA YAANGWA RASMI,HII NDIYO TAARIFA ILIYOSOMWA NA WATU WENGI ZAIDI LEO BAADA TU YA RAIS KUTANGAZA

June 23 2016 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekabidhi taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 Oktoba, 2015 kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa taarifa hiyo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema kwa sasa uchaguzi umekwisha na ametaka watanzania wote wajielekeze kufanya kazi. 
>>>’Kila nchi hata nchi zenye demokrasia, zilizobobea kwa demokrasia unapokwisha uchaguzi unakuwa ni wakati wa kazi, haiwezekani kila siku ni siasa watu watalima saa ngapi’?

Thursday, 23 June 2016

TAJIRI WA TP MAZEMBE AHUKUMIWA JERA...NINI HATIMA YA ULIMWENGU?????



Mmiliki wa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Moise Katumbi amehukumiwa kwenda jela, Katumbi ambaye ni boss wa TP Mazembe ambayo ilikuwa inachezewa na nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu.
Katumbi amehukumiwa miaka mitatu sambamba na kutozwa faini ya dola milioni 6 kwa kosa la kujimilikisha eneo, Katumbi pia alikuwa anatajwa kugombea nafasi ya Urais wa Kongo mwishoni mwa mwaka 2016 kupitia chama cha upinzania kushinda na Rais anayemaliza muda wake Joseph Kabila.
rts7qug-e1462504316478
Hata hivyo wakati wa kutolewa hukumu hiyo Moise Katumbi hakuwepo Kongo, siku moja kabla ya hukumu alikuwa kasafiri kwenda Afrika Kusini kupata matibabu, makosa mengina anayotuhumiwa nayo Katumbi ni pamoja na kutajwa kuajiri wa geni kutoka nje ya Kongo kwa ajili ya kuandaa njama za kumuondoa Rais Kabila.
Moise Katumbi ndio Rais wa klabu ya TP Mazembe aliyoingoza kucheza hadi hatua ya fainali ya klabu Bingwa ya dunia dhidi ya Inter Milan December 18 2010, rekodi ambayo hakuna klabu ya Afrika imewahi kuifikia, TP Mazembe ndio ya kwanza, TP Mazembe wanakuja Tanzania June 28 kucheza mchezo wao wa pili wa nane bora dhidi ya Yanga.

Tuesday, 21 June 2016

MIMBA MPYA YA ZARI MASHAKANI!!1

Hii ni habari ya motomoto kabisa! Mama la mama, Zarinah Hassan ‘Zari The  Boss Lady’ amedaiwa kunasa ujauzito wa mpenzi wake, Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Risasi Mchanganyiko lina ubuyu ulionyooka.

Taarifa hizo za ndani ya familia zimevuja ikiwa ni takriban miezi nane tangu mrembo huyo ampe jeuri Diamond ya kutembea kifua mbele kwa kumzalia Tiffah ambapo inaelezwa kuwa, amefanya hivyo makusudi kuwakata ‘vilimilimi wabaya’ wake.Zarimond


TUJIUNGE NA CHANZO
Chanzo makini kutoka ndani ya familia ya Wasafi Classic Baby (WCB), juzikati kilinyetisha kuwa, gumzo la mjini kwa sasa ni wadau wa burudani kujadili ujauzito wa Zari, ambao unaonekana kuwatisha karibia wapambe wote wa timu pinzani.
“Naomba nikudokeze juu ya Zari kuwa mjamzito tena, habari hii ni ya uhakika na kila mtu WCB anajua, Zari amenyaka mimba na cha ajabu amekataa katakata kuichomoa kama Diamond alivyokuwa akimshawishi.

NDIYO CHANZO CHA UGOMVI
“Huwezi kuamini ugomvi wote ambao umekuwa ukidaiwa kuendelea kati ya Diamond na Zari umesababishwa na ujauzito huo ambapo Diamond amekuwa akitumia nguvu nyingi kumuomba Zari achomoe mimba hiyo lakini hakuna hata siku moja ambayo ameonesha dalili za kumuelewa.

MIMBA INA MIEZI MINNE
Chanzo hicho kilizidi kuweka bayana kuwa, kinachomsikitisha Diamond ni kwamba, mimba hiyo inazidi kukua jambo ambalo anaona si sahihi kwa sasa kwani ana mtoto (Tiffah) ambaye bado hajatimiza hata mwaka mmoja.
“Jamaa anaona soo, anaona kama jamii haitamuelewa hivi, jitihada zake za kumshawishi zinagonga ukuta na mbaya zaidi mimba kwa sasa ina kitu kama miezi minne,” kilisema chanzo hicho makini.

SAFARI ZA SAUZ ZATAJWA
Chanzo hicho kilizidi kutiririka kuwa, safari ambazo Diamond alikuwa akizifanya mara kwa mara kwenda Afrika Kusini  (Sauz), nyingi zilikuwa ni za kutatua mgogoro huo ambao umeikumba familia ya WCB, kiasi kwamba hadi wazazi wote wameshirikishwa lakini mwisho wa siku hakuna muafaka.
“Si unakumbuka kuna kipindi Diamond alikuwa anakwenda Sauz mara kwa mara, ishu hiyo ndiyo ilikuwa inampeleka lakini hazikuzaa matunda, mamaa kagoma,” kilisema chanzo hicho.

FAMILIA YAKE YAMSHANGAA
Chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kuwa, familia yake imemshangaa Diamond kwa nini hakuwa makini wakati alijua kabisa Tiffah bado angali mdogo.
“Wamemshangaa sana kwa kushindwa kuwa makini wakati kwa sasa kuna mbinu nyingi sana za kuepuka ujauzito, sasa matokeo yake amesababisha hadi kuwe na mvutano unaokosa muafaka,” kilisema chanzo hicho.

NDUGU WA DIAMOND ATHIBITISHA
Mwanahabari wetu alipokuwa akiichimba habari hii, alizungumza na mmoja wa ndugu wa Diamond ambaye alikiri kuwa Zari ni mjamzito lakini akaombwa asitajwe jina maana suala hilo limegubikwa na usiri mzito.
“Ndiyo hivyo kama ulivyosikia. Zari hataki kutoa, nahisi kwa sababu ya kuwakomesha zile timu pinzani lakini anashindwa kujua upande wa pili familia inashindwa kukubaliana naye maana ni jambo la aibu kupata mimba kabla mtoto wa awali hajafikisha hata mwaka,” alisema ndugu huyo.

MSIKIE DIAMOND
Baada ya kupenyezewa ubuyu  huo wa motomoto, Risasi Mchanganyiko lilimtafuta Diamond mwenyewe ili aweze kuweka bayana habari hiyo ya heri, ambapo hakutaka kukataa wala kukubali licha ya kukiri kuzisikia habari hizo.
“Dah! Habari hizi sijui muda mwingine huwa mnazinyaka vipi, sijui hapa niseme nini zaidi ila unachotakiwa kufahamu mimi bado nahitaji kupata watoto zaidi ya mmoja na ifahamike kuwa ninapenda watoto sana, maana uwezo wa kuwahudumia ninao hata hivyo kushika mimba kwa Zari ni mapema sana,” alisema Diamond.

MAMA YAKE NAYE
Mama mzazi wa msanii huyo, Sanura alitafutwa ili kusikia maoni yake, lakini badala yake, aliishia kucheka na kumuomba mwandishi wa habari hizi kuachana na mambo hayo.

Chanzo:Global Publishers

Highlights na goli la mechi ya MO Bejaia vs Yanga June 20, Full Time 1-0

USIKU wa June 20 2016 Dar es Salaam Young Africans walikuwa Algeria kucheza mchezo wao wa kwanza wa Kundi A wa hatua ya nane bora dhidi ya wenyeji wao MO Bejaia, katika mchezo huo Yanga walifungwa na MO Bejaia kwa goli 1-0, goli ambalo lilifungwa naArmando Sadiku dakika ya 20.

Friday, 17 June 2016

BAADA YA AJIRA KUWA TABU HAPA NCHINI,CHINA YAJITOA MHANGA KUAJIRI

Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, 

Moja ya stori ambayo imeandikwa June 17 2016 kwenye gazeti la Mwananchi ni hii yenye kichwa cha habari ‘wahitimu wa vyuo vikuu ‘kuula’ China’

Gazeti hilo limeripoti kuwa zaidi ya wahitimu  5000 kutoka vyuo vikuu wanatarajiwa kuajiriwa katika kampuni za Kichina zilizopo nchini China. Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) (Taaluma), Profesa Frolence Luoga alisema chuo hicho na Taasisi ya China ya Confucius, watafanya maonyesho yatakayoenda sambamba na mchujo wa vijana wanaofaa kwa ajiri ya ajira hizo.
Kupitia Gazeti hilo Profesa Luoga alisema katika maonyesho hayo yatakayofanyika kuanzia Juni 18 hadi 19 yatashirikisha zaidi ya Kampuni 100 za China zinazofanya shughuli zake nchini. 
Luoga alifafanua kuwa katika maonyesho hayo wahitimu wanatarajia kujadiliana masuala mbalimbali kuhusu vianda na uchumi, ikiwa ni njia ya kutambua ajira zilizopo.
Aidha gazeti hilo limezungumza na Mtaalamu wa lugha ya Kiswahili wa UDSM, Prof. Aldin Mtembei ambapo amesema wahitimu watakaoshiriki ni kutoka vyuo vyote vya elimu ya juu.
Prof. Mtembei alisema siku ya maonyesho hayo wahitimu hao wanatakiwa kwenda na nakala za wasifu wao (CV), picha na vyeti vinavyoonyesha matokeo yao ya mitihani ili wakiingia kwenye majadiliano na waajiri iwe rahisi kuhakiki sifa zao.

SIMU FEKI ILIVYO SABABISHA KIFO CHA MAMA YANGU,,,,SEHEMU YA KWANZA

Baada ya kushituka usiku wa manane kutoka na kelele zilizokuwa zimeenea,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,karibu numba yetu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,nilijikaza na kuamuka huku nikielekea chumba cha ama yangu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,wakati nafungua mlango ndipo,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,nilipomuona mama yangu akiwa anavuja DAMU nyingi,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,kwa woga ule ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,nilidondoka chini na kuanza kutambaa kuelekea iliko kuwa SIMU YANGU ili nimpigie MJOMBA aliyekuwa jirani na nyumba yetu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,baada ya kuishika SIMU YANGU,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,ILI KUWA HAINA MTANDAO,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,BILA SHAKA ZOEZI LA KUZIMA SIMU LILIKUWA limenikumba ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,na GIZA LOTE HILI,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Jamani,,,,,,,,,,,,,,,,kweli mama yangu ANAKUFA MACHONI MWANGU,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,ITAENDELEA

MAJINA MAPYA YA KIKOSI CHA YANGA,KUCHEZAKOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limepitisha majina ya wachezaji wanne wapya wa Yanga, kipa Benno Kakolanya, Hassan Ramadhan ‘Kessy’, Vincent Andrew Chikupe na Juma Hassan Mahadhi kucheza Kombe la Shirikisho.
Toa maoni yako

ZAWADI YA SIMU ILIVYOFANYA MPENZI WANGU KUNISALITI,,,,NAOMBA USHAURI

Mpenzi wangu aliniomba nimnunulie simu kali ili tuwasiliane vizuri,
nikamnunulia simu ya laki 6. Juzi nikiwa naye nikaangalia simu yake bila yeye kujua nikakuta kuna jamaa ana mahusiano naye na picha hutumiana na kukutana kinyemela.
Nishaurini nikachukue simu yangu au nivumilie?

MSHAURI HUYU DADA,,,,,,,,,,

MSHAURI HUYU DADA
Niliumizwa sana na mapenzi katika maisha yangu, lakini akaja kutokea mkaka mmoja nikampenda, naye akanipenda, akanifanya nisahau maumivu yote niliyopitia, tatizo huyu mpenzi wangu anavuta sana bangi mpaka naogopa, ila kiukweli ndiye mwanaume pekee aliyenifanya nifurahie mahusiano. Nifanyeje maana nimemshauri kuacha bangi hataki.

MAAMUZI YA MAALIM SEIF AKIWA MAREKANI

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad akiwa nchini Marekani, ataka iundwe serikali ya mpito visiwani Zanzibar itakayokaa kwa muda usiozidi miezi 6 ili uandaliwe uchaguzi mpya visiwani humo, huku akiweka sharti kuwa uchaguzi huo wa marudio usimamiwe na Umoja wa Mataifa badala ya ZEC inayoongozwa na Salim Jecha, pia serikali ya mpito iundwe na watu wasiofungamana na upande wowote wa kisiasa.

ABDU KIBA,,,,,,HUU NDIYO UAMUZI WANGU MPYA kujiunga WBC

Staa wa Bongo Fleva, Abdul Kiba  ametolea ufafanuzi kuhusu taarifa iliyosambaa mitandaoni kujiunga na WCB WASAFI ambayo inamilikiwa na Diamond Platnumz.

Abdul Kiba
Akiaongea na cloudsfm.com Abdul Kiba ambae ni mdogowake na msanii Abdul Kiba alieleza.
‘’Ni kweli nilizungumza hiyo lakini wengi wao waliitafsiri vibaya kauli yangu kwasababu ukizungumzia mtonyo nilimaanisha kwamba nina uwezo wa kufanya nao kazi aidha ikitokea labda ‘featuring’ au kuna shoo naweza nikashirikiana nao kwa sababu ni mkataba utatakiwa upite hapo then pesa imwagike nifanye nao kazi ila siku maanisha kwamba nina uwezo wa kuhama ‘lebo’ kutoka hapa nilipo kwenda kwao, nadhani wengi wao waliipokea kauli yangu vibaya’

NINI KISA CHA MASHAMBULIZI DHIDI YA WOLPER,JE NI HARMONIZE

Chupuchupu! Mwanadada anayeng’ara kunako tasnia ya filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper, juzikati almanusra apigwe risasi kwenye kituo kimoja cha mafuta kilichopo Tegeta (jina linahifadhiwa) jijini Dar es Salaam, baada ya kuibuka kwa timbwili zito eneo hilo, Risasi Mchanganyiko linakupa mkasa mzima.

Tukio hilo la aina yake, lilijiri mishale ya saa tano usiku wa Juni 12, mwaka huu ambapo kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, Wolper alinusurika kupigwa risasi na mlinzi wa kituo hicho cha mafuta baada ya kutokea hali ya sintofahamu kati yake na mfanyakazi mmoja kwenye kituo hicho.
“Ishu yenyewe ni kwamba, kuna muda Wolper alifika pale sheli (Sheli ni neno lililozoeleka likimaanisha kituo cha mafuta, lakini ukweli ni kuwa jina hilo ni la kampuni ya mafuta yenye makao makuu yake Nchini Marekani) akiwa ndani ya gari aina ya Toyota Mark X, lile linalodaiwa kuwa ni la mpenzi wake wa sasa, Harmonize (Rajab Abdulkan).
“Akaongeza mafuta na kuondoka zake, dakika kadhaa baadaye, tulishangaa kumuona Wolper akirudi tena na kwenda mpaka kwa yule dada aliyemuuzia mafuta lakini safari hii alionekana kuja kwa shari.
“Akashuka kwenye gari na kuanza kumuwakia yule dada kwa madai kwamba amemuibia mafuta na kusababisha gari lake limzimikie njiani wakati alitoa shilingi elfu ishirini,” kilisema chanzo chetu.
Kwa mujibu wa chanzo, timbwili la aina yake lilizuka eneo hilo baada ya msichana huyo kuanza kumjibu mbovu msanii huyo ambaye hakukubali, Wolper akakinukisha kwa kumvaa na kuanza kumshushia kichapo, tukio lililokusanya umati wa watu.
Ilibidi mlinzi wa kituo hicho cha mafuta, aingilie ugomvi huo. Hata hivyo, mlinzi huyo alionekana kumtetea zaidi mfanyakazi mwenzake na kumkandamiza Wolper, jambo lililozidi kumpa hasira msanii huyo.
“Alipoona wanasaidiana, Wolper aliwachenjia wote wawili, jambo lililosababisha mlinzi huyo aondoke eneo hilo lakini aliporejea, alikuwa na bunduki yake ya lindo mkononi, akaikoki na kutaka kumpiga risasi Wolper,” kilisema chanzo chetu na kuongeza kuwa kuona hivyo, Wolper alikimbilia ndani ya gari lake na kutoka nduki, akiacha watu wengi wakiwa wamekusanyika kituoni hapo.
Baada ya kusikia maelezo hayo kutoka kwa chanzo chetu, Risasi Mchanganyiko lilimtafuta Wolper ambaye baada ya kusomewa mashtaka hayo, alikiri kutokea kwa tukio hilo.
“Dah, ni kweli nilikutana na matatizo hayo usiku, ambapo nilikuwa naenda Tegeta baada ya kufika njiapanda flani pale, gari lilipungua mafuta nikaingia kituoni na kuongeza ya elfu 20, wakati naongeza nilihisi kabisa yule dada ananiibia lakini sikumjali, nikalipa na kuondoka.
Nilipofika mbele kidogo tu gari lilizima,” alisema Wolper na kuongeza: “Ilibidi nifanye utaratibu wa kupata mafuta mengine kisha nikageuza na kurudi mpaka pale sheli kwa lengo la kudai haki yangu ndiyo kukatokea timbwili hilo kwani mlinzi wa pale alikuwa anamsaidia yule dada aliyeniibia.”
“Wakati nikiwa najihami maana yule mlinzi alikuwa akinikaba, nilimpiga kibao, akakimbilia bunduki yake na kuanza kuikoki akitaka kunipiga risasi.
“Baada ya kuona amefikia hatua hiyo niliingia haraka kwenye gari langu na kuondoka zangu kwani nilihisi walikuwa na njama moja ya kuniibia mafuta na walipoona nimerudi kulalamika ndiyo wakaamua kunifanyia vurugu, kweli sikufurahishwa na tabia yao kwanza ni wezi wakubwa wa mafuta hao,” alisema Wolper.

LULU,NIPO KIMATAFA ZAIDI

ELIZABETH Michael ‘Lulu’ mwigizaji wa kike mwenye nyota kali anasema kuwa hawezi kwa sasa kuonekana kwa kila filamu bila sababu kwani amejipanga kutafuta tuzo kubwa za kimataifa hivyo lazima ashiriki sinema bora ili kufikia malengo yake.


“Kuwa bora si kucheza sinema nyingi bali kuwa na sinema za maana, nimejipanga na nakuja na filamu yangu ya Ni Noma ni filamu kubwa sana kutengezwa Afrika Mashariki,”
Lulu anasema kuwa filamu yake ya Ni Noma ameigiza katika viwango vya kimataifa na imechukua muda mrefu katika kuandaliwa na anaamini ndio kazi ambayo itampeleka katika tuzo kubwa za Oscar hata kuibuka kinara kwani ndio malengo yake.
Filamu ya Ni Noma imetengenezwa na kampuni ya Proin Promotions na inauzwa kwa njia ya mtandao kupitia Proin Box na inapatikana nchi zote Duniani ni kazi nzuri sana kwani ndio sinema ya kwanza kushirikisha wasanii kutoka nchi mbalimbali pia.

Friday, 3 June 2016

7 WAYS TO KNOW YOUR PARTNER JUST SLEPT WITH SOMEONE ELSE


The issue of infidelity in relationships can never be overlooked as it is a subject that affects many. The same way women cheat in relationships, men also cheat
What most people fail to understand is that there would always be lapses when a party starts to cheat on the other person. Although, many would agree that catching a cheating partner is psychological; this explains why people say their instincts led them to the discovery. In this piece, we would be looking at the signs men watch out for when they want to know if their woman has been cheating or not. The signs that would be raised would be considered elementary for those girls who make cheating their life ambition and would never be caught doing it. Find below some of the give-away signs that men watch out for when women cheat on them:
            CLICK BELOW TO WATCH

RAYMOND NATAFUTAKIKI LISTER A SONG

A NEW SONG


RICH MAVOKO IBAKI STORY

A BRAND NEW SONG BY Rich MAVOKO after signing a new contract with WBC  LABEL

Thursday, 26 May 2016

A BIG SECRET YOU DON'T KNOW ABOUT WEMA SEPETU

Wema Sepetu (born 28 September 1988) is a Tanzanian beauty contestant who won the Miss Tanzaniacontest in 2006 Miss Tanzania. She represented Tanzania in Miss World 2006 which was held in Poland. She later on achieved fame and popularity in her home country by acting in Tanzanian Films.

Miss World 2006[edit]

One lovely day, Wema was out and about at Slipway (Masaki)and was spotted by Mange Kimambi who encouraged her to contest for Miss Tanzania. As luck had it, she won the title-beating fellow celebrities Jokate Mwegelo and Lisa Jensen. After winning the coveted title of Miss Tanzania in 2006, Wema traveled to Warsaw,Poland to compete in the Miss World 2006 however she failed to enter the top 17 semifinalists.[1]

Acting career[edit]

After her stint at beauty contests, Wema ventured into Tanzanian films as an actress and has since gained a lot of popularity in her country. It was Steven Kanumba who first introduced her to the film industry. Her path in acting began in 2007 in her first movie, Point of no Return.

Early and Personal Life[edit]

Wema is the last born in the diplomatic family of Isaac Abraham Sepetu and Mariamu Said Sepetu, having three sisters. She is famously known for her whining voice-a character common among last borns. She was born at ST. Andrew’s hospital in Dar es Salaam and studied at Academic International before she flew to Malaysia to study International Business Studies at Limkokwing University. Madam Wema has many talents, including singing, acting and beautification. Wema is among the influential and beautiful women of Tanzania; having maternal ancestry from Singida (The lake zone tribe of Nyaturu, where very beautiful women hail from) and paternal ancestry from Zanzibar (the coast region, a famous island of Africa).[2]
Like many celebrities, Wema has had a 'roller coaster' ride in relationships. She was seeing someone before she won the Miss Tanzania title, but after that they split because the guy claimed not to receive enough attention from her. Then Steven Kanumba, who was rising to be the greatest in his acting career and also her mentor in the film industry, entered into her life. The two were like magnet together, she would make him shine and he was rising at a rocket speed as they were both pursuing their acting careers. They were like Jada Pinkett Smith and Will SmithSteven Kanumba had her best interests at heart and they were inlove until Wema screwed it up by falling inlove with a drug addict-Jumbe. This guy had a ferocious love towards Wema-he almost had Wema addicted too. At one point, Wema was arrested for being involved with Jumbe because of his drug dealings. Her mother and family were deeply worried that she would end up an addict too and they sought to save her from the mess. Thenafter, she was hooked up in a love by a Tanzanian Musician, Chalz Baba. Her parents were concerned with her behaviour of falling in love with men so they sent her to America, to her oldest sister-Tunu. Wema moved into the hands of Diamond Platnumz. He was still an underground artist by then, and he managed to turn around his career by her love and support. They supposedly met on Facebook when she commented on his wallposts, still in America by then. The story of Wema and Diamond Platnumz took over Tanzania by force. Diamond Platnumz put Wema on love triangles several times, with some of her closest friends like- Kajala and DJ Penny.[3] Wema has dated a BBA Hotshot (season 9) Zambian housemate Luis Tshita Munana.[4] This relationship did not last long, for reasons of long distance and cheating. Her current Man and the father of the living being inside her womb is BBA Hothots winner-2014, Idris Sultan.[5] The couple is of age difference 6 years and everything looks to be fairing on well, paradise is peaceful.

Stardom and Public Image[edit]

Wema is a star who rose from beauty pagents to relationship scandals and finally to acting. She is The Darling of Tanzania. Many young people idolize her in East and the whole of Africa. She has an entertainment company 'Endless Fame' which produces her reality TV Show In My Shoes, Wema Sepetu. Wema is managed by Martin Kadinda, whom she has developed a deep relationship with-on a friendly level. Martin Kadinda is a successful designer and model. Her life and career inspires so many young people in the country that her fan base can sting you when you raise a finger at her. Wema has a beauty product, a lipstick named Kiss by Wema that was released on her birthday,28 September. Her social medias generate so much traffic-1.3M on Instagram Followers,243K-Twitter Followers and Facebook-342,954 likes.
Filmography
YearTitle
2007A Point of No Return[6]
2008Family Tears[7]
2009Red Valentine[8]
2010Sakata[9]
2010White Maria[10]
2010Tafrani[11]
201114 Days[12]
2011Lerato[13]
2011Basilisa[14]
2011The Diary[15]
2011DJ Ben[16]
2012Crazy Tenant[17]
2012House Boy[18]