Friday, 17 June 2016

MSHAURI HUYU DADA,,,,,,,,,,

MSHAURI HUYU DADA
Niliumizwa sana na mapenzi katika maisha yangu, lakini akaja kutokea mkaka mmoja nikampenda, naye akanipenda, akanifanya nisahau maumivu yote niliyopitia, tatizo huyu mpenzi wangu anavuta sana bangi mpaka naogopa, ila kiukweli ndiye mwanaume pekee aliyenifanya nifurahie mahusiano. Nifanyeje maana nimemshauri kuacha bangi hataki.

No comments:

Post a Comment