Friday, 17 June 2016

MAAMUZI YA MAALIM SEIF AKIWA MAREKANI

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad akiwa nchini Marekani, ataka iundwe serikali ya mpito visiwani Zanzibar itakayokaa kwa muda usiozidi miezi 6 ili uandaliwe uchaguzi mpya visiwani humo, huku akiweka sharti kuwa uchaguzi huo wa marudio usimamiwe na Umoja wa Mataifa badala ya ZEC inayoongozwa na Salim Jecha, pia serikali ya mpito iundwe na watu wasiofungamana na upande wowote wa kisiasa.

No comments:

Post a Comment