Friday, 17 June 2016

ZAWADI YA SIMU ILIVYOFANYA MPENZI WANGU KUNISALITI,,,,NAOMBA USHAURI

Mpenzi wangu aliniomba nimnunulie simu kali ili tuwasiliane vizuri,
nikamnunulia simu ya laki 6. Juzi nikiwa naye nikaangalia simu yake bila yeye kujua nikakuta kuna jamaa ana mahusiano naye na picha hutumiana na kukutana kinyemela.
Nishaurini nikachukue simu yangu au nivumilie?

No comments:

Post a Comment