Highlights na goli la mechi ya MO Bejaia vs Yanga June 20, Full Time 1-0
USIKU wa June 20 2016 Dar es Salaam Young Africans walikuwa Algeria kucheza mchezo wao wa kwanza wa Kundi A wa hatua ya nane bora dhidi ya wenyeji wao MO Bejaia, katika mchezo huo Yanga walifungwa na MO Bejaia kwa goli 1-0, goli ambalo lilifungwa naArmando Sadiku dakika ya 20.
No comments:
Post a Comment