Monday, 4 July 2016

HATA KAMA NI TAMAA YA PESA HII NI HATARI

  • Katika tukio lililoshangaza watu wengi huko
    mkoani Mbeya, mwanaume mmoja
    amekamatwa na kichwa cha binadamu baada
    ya kufukua kaburi.
    - Inadaiwa alifikia maamuzi hayo ili aweze
    kufanikiwa katika biashara zake.

TAZAMA VIDEO CHINI KABISA

No comments:

Post a Comment